TOURISTS AT OLDUVAI GORGE, NGORONGORO TANZANIA
Tuesday, June 30, 2015
No comments
Tourists enjoying the Olduvai Gorge surroundings!
Tourists at Ngorongoro Conservation Area entrance gate
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII LAZARO NYALANDU AZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA WATANZANIA KUTEMBELEA HIFADHI ZA TAIFA
Tuesday, June 30, 2015
No comments
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu akizungumza leo katika Club ya Yatch, Mwanza kwenye Uzinduzi wa Kampeni ya Uhamasishaji Watanzania kutembelea Hifadhi za Taifa
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu akizindua Usafiri wa Majini (boti) tayari kwa Uhamasishaji Watanzania kutembelea Hifadhi za Taifa
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu akizindua Usafiri wa nchi kavu (gari) tayari kwa kusaidia kampeni ya Uhamasishaji Watanzania kutembelea Hifadhi za Taifa
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu na Mkurugenzi wa TANAPA Allan Kijazi wakiwa katika picha ya pamoja na washiriki wengine kwenye Halfa ya Uzinduzi wa Kampeni ya Uhamasishaji Watanzania kutembelea Hifadhi za Taifa
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu akiwa na wanafunzi mbalimbali wa vyuo vya Mwanza leo katika Halfa ya Uzinduzi wa Kampeni ya Uhamasishaji Watanzania kutembelea Hifadhi za Taifa
Mkurugenzi wa TANAPA Allan Kijazi akizungumza katika Halfa ya Uzinduzi wa Kampeni ya Uhamasishaji Watanzania kutembelea Hifadhi za Taifa
East Africa Tourism Platform names new coordinator
Tuesday, June 30, 2015
No comments
Following the departure of Ms. Waturi Wa Matu, who served as Coordinator for the East Africa Tourism Platform (EATP) since the launch of the regional tourism apex body three years ago, the organization has been seeking to fill the position with an equally competent individual from across the member states of Burundi, Kenya, Rwanda, Tanzania, and Uganda.
In a breaking news development, it was confirmed that Ms. Carmen Nibigira, former Director General of the Burundi National Tourism Office and presently a Ph.D. Candidate at Clemson University in South Carolina, was selected unanimously and will upon completion of her studies take over the vacant position in Nairobi.
Carmen took Burundi’s national tourism office from a previously hibernating state into the spotlight among the East African tourism boards, winning ITB’s Best African Exhibitor Award among many other accomplishments during her one year term of office, before she had to return to the United States to complete her Ph.D. studies.
Carmen earned the respect and admiration among East Africa’s tourism fraternity, and no doubt her appointment will be warmly welcomed across the region.
Gifted with both academic credentials as well as skills in diplomacy, besides her extensive network in Eastern Africa and beyond, Carmen is thought to be the perfect choice to take over from Waturi and take EATP to the next level, as East Africa’s tourism sector needs to unite to succeed against sharp competition from Southern Africa’s safari destinations.
Said Carmen in a brief statement sent out earlier on to this correspondent: “I am very honored to have been selected as Coordinator for the East Africa Tourism Platform. Waturi Wa Matu did a fantastic job since the launch of EATP and has, together with the representatives of the member countries, driven the regional tourism agenda forward. EATP has recorded significant successes, and I look forward to building on these achievements and help take East Africa’s tourism industry to the next level.
Protecting borders means protecting tourism
Tuesday, June 30, 2015
No comments
TANZANIA (eTN) – Through tourism, Tanzania National Parks supports
community projects in villages neighboring the parks through its Social
Community Responsibility (SCR) program known as Good Neighborliness, an
initiative that has shown a positive trend, bringing reconciliation
between people and wild animals. People in villages appreciate the
importance of wildlife and tourism in their lives.
This is why it is vitally important for Tanzania’s government to take
new strategies to resolve escalating conflicts between local
communities and wildlife conservation authorities. The Tanzania
government is now planning to demarcate anew the wildlife parks borders.
The move to demarcate borders between wildlife parks and local
communities had come into government plans as the only option to solve
conflicts between locals and wildlife conservationists.
Natural Resources and Tourism Minister Mr. Lazaro Nyalandu was quoted
as saying that his ministry which is responsible to oversee wildlife
protection and conservation, is working out a modality to re-demarcate
the borders between wildlife parks and human settlements.
He said the aim to carry such an exercise was a quick solution to
frequent conflicts between communities living near reserved areas, the
parks’ managements, and related wildlife managers.
There has been frequent conflicts and skirmishes reported to erupt
between local communities and wildlife conservation managers. Most of
reported conflicts were based on the fight for pastures and farming
lands.
Wildlife and human conflicts are currently a big debate in Tanzania
and which had attracted local and international conservationists to
intervene. Northern Tanzania’s premier tourist pulling parks of
Tarangire, Lake Manyara, Arusha and the Serengeti have reported
conflicts between humans and wild animals.
Tanzania National Parks, the trustee and leading wildlife
conservation and protection institution, has been affected by some
reported human and wildlife conflicts in three of its leading parks of
Ruaha, Tarangire and Serengeti.
BREAKING NEWS!!! TANAPA MEDIA AWARDS LIVE TONIGHT!!!!!!
Monday, June 29, 2015
No comments
Don't miss the space. Tanzania
National Parks Media Awards Live
on Star TV tonight at 9.30pm
National Parks Media Awards Live
on Star TV tonight at 9.30pm
Visit UKARIMU Blog for all the
breaking updates!!!
Tell Your Friend!!!
INDIA, TANZANIA INK EIGHT MOUS IN FIELDS INCLUDING AGRICULTURE, TOURISM, HYDROGRAPHY
Saturday, June 27, 2015
No comments
Prime Minister Narendra Modi (R) with President of Tanzania Jakaya Kikwete (L) during a ceremonial reception at Rashtrapati Bhawan forecourt on June 19, 2015 in New Delhi, India. Prime Minister Narendra Modi said that India
India inked eight MoUs with Tanzania in various fields including Agriculture, Tourism and Hydrography to expand ngagement in different sectors.
NEW DELHI: India on Friday inked eight MoUs with Tanzania in various fields including Agriculture, Tourism and Hydrography to expand engagement in different sectors.
The agreements were signed after delegation level talks between Prime Minister Narendra Modi and President of Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete here.
The MoUs signed include a loan agreement between Exim Bank and Tanzanian Government on a line of credit for 268.35 million dollars for extension of Lake Victoria pipeline project.
Prime Minister Narendra Modi said that ways to enhance cooperation in the maritime sector and ocean economy figured in the talks, noting that both the countries have a common interest in maritime security in the Indian Ocean region. Noting that terrorism is a matter of concern for both countries, the Prime Minister also announced establishing of a Joint Working Group to strengthen cooperation in counter terrorism.
Terming Tanzania as an important component in the India-Africa partnership, the Prime Minister said he has conveyed to Kikwete that India will soon extend e-tourist visa scheme to Tanzanian tourists.
Thanking India for its continued assistance to his country, Tanzania President said both the nations have decided to take the relationship to the next level.
Kikwete said, India deserves to be a permanent member of expanded UN Security Council and his country will continue to work with other African countries to back New Delhi's candidature.
SOURCE: The new Indian Express Group
MAONESHO YA UTALII YA SANGANAI/HLANGANANI–(WORLD TOURISM EXPO) ZIMBABWE YAFUMBUA MACHO WATANZANIA
Saturday, June 27, 2015
No comments
Pichani
juu na chini ni Afisa Habari Mwandamizi wa Bodi ya Utalii Tanzania
(TTB), Esther Solomon (kushoto) akitoa maelezo ya shughuli mbalimbali za
utalii na vivutio vyake nchini Tanzania kwa baadhi ya wanafunzi wa vyuo
mbalimbali vikiwemo vya utalii nchini Zimbabwe waliofika katika banda
la Tanzania kwenye maonyesho ya nane ya Kimataifa ya Utalii
Sanganai/Hlanganani–(World Tourism Expo) kupata taarifa mbalimbali za
vivutio vya utalii wa Tanzania) yaliyomalizika jana jijini Harare katika
ukumbi wa hoteli ya Rainbow Towers.
Afisa
Habari za Utalii Mwandamizi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Esther
Solomon (kulia) akibadilishana mawazo na wananfunzi wa Belvedere
Technical Teachers College nchini Zimbabwe, Francisca Chipuriro
(kushoto) na Natalie Takavarasha (katikati) wakati walipotembelea banda
la Tanzania kwa ajili ya kupata taarifa mbalimbali za utalii wa Tanzania
na vivutio vyake siku ya ufunguzi rasmi wa maonyesho hayo
yaliyomalizika juzi jijini Harare katika hoteli ya Rainbow Tower
Wageni
mbalimbali waliovutiwa na vivutio vya utalii nchini Tanzania
wakiendelea kumiminika katika banda la Tanzania na kupata taarifa
mbalimbali kutoka kwa Afisa Habari za Utalii Mwandamizi wa Bodi ya
Utalii Tanzania (TTB), Esther Solomon (kulia) ambapo hivi sasa Shirika
la ndege la Fastjet limeanza safari zake jijini Harare kupitia Lusaka
hadi Dar es Salaam kwa gharama nafuu kabisa itakayowezesha wananchi wa
Zimbabwe kufanya safari za Tanzania kwa gharama nafuu kabisa
Meneja
Masoko na Tehama wa kampuni ya Best Northern Tours and safaris nchini
Tanzania, Mary Joel akitoa maelezo ya shughuli mbalimbali za utalii
zinazofanywa na kampuni yake kwa wageni waliofika katika banda la
Tanzania wakati wa maonyesho hayo yaliyomalizika juzi jijini Harare
Aliyekuwa
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Bw.
Samwel Diah (wa pili kulia) akitoa maelezo yaliyomo kwenye vipeperushi
vyenye taarifa mbalimbali za vivutio vya utalii nchini Tanzania kwa
wageni waliotembelea banda la Tanzania kwenye maonyesho nane ya utalii
ya Sanganai/Hlanganani–(World Tourism Expo) jijini Harare
Wakala
wa utalii kutoka kampuni ya Cordial Tours and Travel ya nchini
Tanzania, Joseph Waryoba (kulia) akipata picha ya kumbukumbu na
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii nchini Zambia, Felix Chaila
aliyembelea banda la Tanzania wakati wa maonesho ya siku tatu ya utalii
ya Sanganai/Hlanganani–(World Tourism Expo) jijini Harare katika hoteli
ya Rainbow Towers ambayo yamemalizika juzi.
TIMU
ya watanzania walioenda kuhudhuria maonesho ya utalii nchini Zimbabwe
wamesema Tanzania ina nafasi kubwa ya kujifunza uendeshaji wa sekta ya
utalii.
Walisema katika ziara yao hiyo wamegundua kwamba Wazimbabwe kuanzia wanapompokea mgeni hadi anapofika hotelini wanaonesha kujali hali ambayo mgeni hawezi kusahau hata kidogo.
Aidha amesema kwamba hata mipangilio ya kwenda kwenye vivutio inafanyika katika hali ambayo huwezi kusahau hata kidogo.
Walisema katika ziara yao hiyo wamegundua kwamba Wazimbabwe kuanzia wanapompokea mgeni hadi anapofika hotelini wanaonesha kujali hali ambayo mgeni hawezi kusahau hata kidogo.
Aidha amesema kwamba hata mipangilio ya kwenda kwenye vivutio inafanyika katika hali ambayo huwezi kusahau hata kidogo.
SERIKALI YA MAREKANI YAZINDUA MRADI WA DOLA MILIONI 14.5 WA KULINDA MAZINGIRA, KUKUZA UHIFADHI NA UTALII NCHINI TANZANIA
Saturday, June 27, 2015
No comments
Balozi
wa Marekani nchini Tanzania Mark Childress akizungumza katika uzinduzi
wa mradi wa PROTECT wa dola za kimarekani Milioni 14.5 wa kulinda
mazingira, kukuza uhifadhi na utalii nchini hapa unaolenga kujenga uwezo
wa uhifadhi na kukabiliana na ujangili na usafirishaji haramu wa
wanyamapori nchini kote Tanzania,uzinduzi huu ulifanyika jana katika
eneo la hifadhi ya wanyamapori linalosimamiwa na jumuiya ya uhifadhi ya
wanyamapori {WMA} la Randilen linalopakana na hifadhi ya taifa Tarangire
Wilayani Monduli mkoani Arusha. (Habari Picha na Pamela Mollel wa
jamiiblog).
Wadau wa wanyamapori wakiwa wanafatilia hotuba ya
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childress.
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childress.
Waziri
wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania, Lazaro Nyalandu, akizungumza
katika uzinduzi huo, ambapo ameishukuru serikali ya Marekani kwa msaada
huo huku akiongeza kuwa kumekuwa na uvamizi mkubwa katika maeneo ya
hifadhi za taifa na kusema kuna mpango makakati wa kuhakikisha njia zote
zinafunguliwa ili kuwezesha wanyamapori wote kuwa huru kuzunguka katika
hifadhi zote nchini.
Mkuu wa mradi huo wa PROTECT Jon Anderson akizungumza katika uzinduzi wa
mradi wa PROTECT wa dola za kimarekani Milioni 14.5 wa kulinda mazingira,
kukuza uhifadhi na utalii nchini hapa.
Mwenyekiti wa jumuiya ya hifadhi ya jamii Randilen, Daniel Loishaye,
akizungumza katika uzinduzi huo.
akizungumza katika uzinduzi huo.
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childress wakitiliana saini mkataba wa mradi wa
PROTECT na Waziri wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania, Lazaro Nyalandu.
PROTECT na Waziri wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania, Lazaro Nyalandu.
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childress, akiwa anapunga mikono
ishara ya kuagana na wadau mbalimbali waliofika katika uzinduzi huo.
ishara ya kuagana na wadau mbalimbali waliofika katika uzinduzi huo.
Wanyama aina ya Twiga wakiwa wanapamba hifadhi ya Tarangire.
Na Pamela Mollel, ArushaSerikali ya Marekani kwa kupitia shirika la ushirikiano wa kimataifa (USAID) imezindua rasmi mradi wa miaka mitano wa kulinda mazingira na kukuza uhifadhi wa utalii wa dolla za kimarekani milioni14.5 hapa nchini ujulikanao kama PROTECT=PROJECT.
Uzinduzi huu ambao umefanyika ndani ya eneo la hifadhi ya wanyamapori linalosimamiwa na jumuiya ya uhifadhi ya wanyamapori (WMA) la Randilen linalopakana na hifadhi ya taifa tarangire Wilayani Monduli mkoani Arusha, Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childress amesema mradi huu unalenga kujenga uwezo wa uhifadhi na kukabiliana na ujangili na usafirishaji haramu wa wanyamapori nchini kote Tanzania.
4 th HAYDOM CULTURAL FESTIVAL - 2015
Saturday, June 27, 2015
1 comment
Venue: Haydom Cultural Centre -Manyara: Tanzania
Being one of unique and Africa’s number one cultural festival annually held in rural areas while attracting thousands of local and international visitors, this is a never miss cultural festival on planet Earth.
The Haydom community welcomes the world to it’s highly praised cultural celebration in Africa. The event is held in rural Africa and brings together the four main language groups of the continent to celebrate their cultural values
including the traditional artifacts shows, traditional dance performances and competition, cultural film shows, archery competitions, and half marathon just to mention a few.
The event also gives visitors an opportunity to taste traditional cuisines, local beers & wines and share your life with local families in camping and professionally organized home-stay programmes
The main tribes that participate includes the Datoga representing the Nilotic group originally from Nile river,Central & Northern parts of Africa, Hadza representing the Khoisans from Eastern and Southern Africa, Iraqw representing the
Cushites originally from the Horn of Africa and off-course the largest group of Bantu speaking tribes originally from West Africa been represented by Nyiramba, Nyisanzu and Wagogo just to mention a few
Tourists planning a trip to Northern Tanzania can perfectly include this on their itinerary when exploring popular parks like Serengeti, Kilimanjaro, Tarangire and Lake Manyara National parks without forgetting the majestic Ngorongoro
crater.
While in Haydom visitors can embark on professionally organized cultural tours to the Land of Hadzabe- Yaeda Valley territory, visit Datoga, Iraqw and Bantu tribes (Nyisanzu & Nyiramba), explore the Rock art paints, Lake Bassotu
(canoeing & fishing), Crater lakes, Mount Hanang, Mulbadow wheat farms, visit the Haydom hospital and the rest of the village.
EXHIBITION
:The Festival attracts a big number of local and international audiences. Companies, individuals and institutions always get a platform for exhibition to
display their products. The event plan and organization provides smooth interface between the exhibitors and the audience
Great Wildebeest Migration News! Huge herds at Nyamalumbwa Plains and around Bologonja area, some crossing the Sand River to Masai Mara,Kenya
Friday, June 26, 2015
1 comment
News from Serengeti said that there are some big herds in the Makoma area although they are certainly pointing in
the direction for their trip to the north. But guests still seeing big
herds here in central Serengeti.
Other report says the southern herds are slowly heading north past Mkoma Hill.
There are also big herds of wildebeest around Nyamalumbwa heading to Sand River then on to the Mara River,
A lot of zebra around the Naabi/Sero/Sopa junction. Moving in the direction of Central/North East.
ZARA TOURS LAKE MANYARA NATIONAL PARK TODAY
Friday, June 26, 2015
No comments
Heritage Baptist Church Youth Group USA visited Lake Manyara National Park today with TDMC Company Driver Guides Retunus, Jerry Kaaya, Mathayo and Rama
Local, international celebrities team up in Tanzania ‘Wildlife Pride Campaign’
Friday, June 26, 2015
No comments
Various religious leaders involved in the
�Wildlife Pride Campaign� in a tourist van when they visited Tarangire
National park having the largest number of elephants to learn the
effects of elephant poaching which threatens the country of late. (File
Photo).
Dubbed ‘Wildlife Pride Campaign” the move is to fight against
poaching in the country. It involve local celebrities like former Miss
Tanzania Jacqueline Mengi, artists Ali Kiba, Vanessa Mdee and former
NBA player Hasheem Thabeet.
They will be joined by international celebrities who include
Jackie Chan, Yao Ming, Edward Norton, Prince William and David Beckham.
However WildAid and African Wildlife Foundation (AWF) are the main
sponsors of the awareness campaign that intends to end poaching and
wildlife poaching or reduce in large amount the incidences.
Tanzania boasts 16 national parks — including Ruaha, Serengeti and
Tarangire — the Ngorongoro Conservation Area and 17 game reserves,
including the Selous. Yet despite ongoing conservation efforts, the
country is now poised to lose one of its most recognised and valued
resources: the African elephant. Growing affluence in Asia has produced
a new class of ivory consumers.
WAZIRI NYALANDU AZINDUA KAMPENI MPYA DHIDI YA UJANGILI
Friday, June 19, 2015
No comments
Akizungumza jijini Dares Salaam, Mhe.
Nyalandu alisema kuwa kampeni hiyo itaongeza mwamko kwa Taasisi za
kiraia katika kulinda tembo na wanyama wengine.
Katika uzinduzi huo, ulihudhuriwa na viongozi wa dini zote nchini,
Wadau wa Uhifadhi wa ndani na nje ya nchi pamoja na Balozi wa Marekani
nchini Tanzania na Mwakilishi kutoka China.
Katika uzinduzi wa kampeni hiyo iitwayo ‘’ UJANGILI UNATUUMIZA SOTE’’ Mhe. Nyalandu alisema Kampeni hiyo ni hatua muhimu katika mapambano dhidi ya Ujangili na pia itatoa mwamko kwa wananchi wote nchini kushiriki katika mapambano ya dhidi ya Ujangili.
Katika uzinduzi wa kampeni hiyo iitwayo ‘’ UJANGILI UNATUUMIZA SOTE’’ Mhe. Nyalandu alisema Kampeni hiyo ni hatua muhimu katika mapambano dhidi ya Ujangili na pia itatoa mwamko kwa wananchi wote nchini kushiriki katika mapambano ya dhidi ya Ujangili.
Serengeti Voted Africa's Best Safari Park by Industry Experts and Safari-Goers
Friday, June 19, 2015
No comments
A study of more than 3,000 reviews from safari
adventurists and industry experts from Lonely Planet, Rough Guides and
other guidebooks all agree: Serengeti National Park in Tanzania is the
best in all of Africa.
SafariBookings.com,
an online marketplace for African safaris, set out to put to rest the
question of which park was best for African safaris. Serengeti National
Park in Tanzania came out on top, which was no surprise to safari
enthusiasts. The study reports, after analyzing 3,008 reviews by both
safari travelers and top experts in the field, that Serengeti was the
clear winner.
A total of 2,234 reviews were contributed by safari tourists
from 63 countries. The remaining 774 park reviews were written by
renowned experts, including guidebook authors associated with Lonely
Planet, Rough Guides, Frommer’s, Bradt and Footprint.
The study revealed the Serengeti received an overall rating of
4.91 out of 5 stars. This was the highest score amongst all parks, and
thus the Serengeti was crowned Africa's Best Safari Park.
To add weight to this outcome, safari tourists who visited
multiple parks rated the Serengeti an astonishing 16% higher than any
other park. The industry experts also rated Serengeti highest. Their
reviews tend to be more critical, as they can compare Serengeti to a
host of parks they've visited in various countries. Regardless,
Serengeti came out on top, justifying its first place ranking all the
more.
When asked why Serengeti is such a desired safari destination, several repetitive themes emerged: the annual Great Migration (hosting over 2.5 million wildebeest and zebra), top wildlife viewing year-round and endless grass plains that feel like authentic Africa. Also contributing to the choice was Serengeti’s distinction as one of the best places to see most predators including lions, and thousands of wildebeest cross crocodile infested rivers. In addition, visits to the park can be easily combined with other top-class parks of Tanzania.
When asked why Serengeti is such a desired safari destination, several repetitive themes emerged: the annual Great Migration (hosting over 2.5 million wildebeest and zebra), top wildlife viewing year-round and endless grass plains that feel like authentic Africa. Also contributing to the choice was Serengeti’s distinction as one of the best places to see most predators including lions, and thousands of wildebeest cross crocodile infested rivers. In addition, visits to the park can be easily combined with other top-class parks of Tanzania.
TANAPA WINS THE BEST TOURISM MARKETING AWARD IN KOPTA 2015
Monday, June 15, 2015
No comments
The 30th Korea World Travel Fair at COEX started on June 11 up to June 14 and TANAPA honored with the Best Tourism Marketing Award.
MOUNT MERU WINS HOSPITALITY EXCELLENCE AWARD
Thursday, June 11, 2015
1 comment
The world’s largest travel site TripAdvisor has awarded 2014 Certificate of Excellence to Mount Meru in Arusha National Park which emerged a winner.
This prestigious award is based on the quality of reviews and
opinions submitted by various travellers around the world to
TripAdvisor over the past year. The award also signifies that Mount
Meru has consistently earned outstanding feedback from TripAdvisor
travellers.
TripAdvisor enables travellers around the world to plan and
book the perfect trips. It offers advice from millions of travellers
and a wide variety of travel choices and planning features with
seamless links to booking tools that check hundreds of websites to find
the best tourist attractions.
About Mount Meru
At 4,565 metres (15,000 ft) Meru is one of Africa's volcanic
giants, the third highest free-standing mountain on the continent and a
hugely rewarding climb. Meru once stood at high as neighboring
Kilimanjaro but a massive eruption a few thousand years ago blew out
the center and the eastern flank leaving a giant horseshoe shape with a
crater in the middle commanding dramatic views in all directions.
Issued by:
Corporate Communications Department
Tanzania National Parks
10th June, 2015
dg@tanzaniaparks.com
www.tanzaniaparks.com
Corporate Communications Department
Tanzania National Parks
10th June, 2015
dg@tanzaniaparks.com
www.tanzaniaparks.com
WEF names Sub-Saharan Africa's top 10 countries in tourism competitiveness
Thursday, June 11, 2015
1 comment
The World Economic Forum (WEF) on
Africa on Friday named Sub-Sharan Africa's top 10 countries in travel
and tourism competitiveness, with South Africa taking the lead.
South Africa tops the African region and ranks 48th globally, Seychelles comes second, followed by Mauritius, Namibia, Kenya, Cape Verde, Botswana, Tanzania, Rwanda and Zambia, says the WEF Travel and Tourism Competitiveness Report 2015, released on the sidelines of the WEF on Africa.
South Africa's high rank is due to its relatively good infrastructure compared with other African countries, and its efforts to reduce "red tape" and encourage business development in the tourism industry, according to the report.
The country also benefits from hosting the 2010 World Cup, as several stadiums are being used to hold large entertainment events, it adds.
The tourism industry accounts for nearly 9 percent of the Gross Domestic Product of African nations, but most African countries are still in the early stages of development for tourism, with challenges in issues of infrastructure, health and security, according to the report.
The majority of countries in the region realize tourism's potential role as an economic opportunity and development catalyst, and have drafted strategic plans, said Tiffany Misrahi, one of the writers of the report.
He also noted the importance of protecting the rich natural resources on the continent.
"Indeed, deforestation and the loss of habitat and wildlife could become a serious issue for Africa's tourism industry going forward," said Misrahi.
South Africa tops the African region and ranks 48th globally, Seychelles comes second, followed by Mauritius, Namibia, Kenya, Cape Verde, Botswana, Tanzania, Rwanda and Zambia, says the WEF Travel and Tourism Competitiveness Report 2015, released on the sidelines of the WEF on Africa.
South Africa's high rank is due to its relatively good infrastructure compared with other African countries, and its efforts to reduce "red tape" and encourage business development in the tourism industry, according to the report.
The country also benefits from hosting the 2010 World Cup, as several stadiums are being used to hold large entertainment events, it adds.
The tourism industry accounts for nearly 9 percent of the Gross Domestic Product of African nations, but most African countries are still in the early stages of development for tourism, with challenges in issues of infrastructure, health and security, according to the report.
The majority of countries in the region realize tourism's potential role as an economic opportunity and development catalyst, and have drafted strategic plans, said Tiffany Misrahi, one of the writers of the report.
He also noted the importance of protecting the rich natural resources on the continent.
"Indeed, deforestation and the loss of habitat and wildlife could become a serious issue for Africa's tourism industry going forward," said Misrahi.
TANAPA to benefit from Chinese Academy of Sciences
Wednesday, June 10, 2015
No comments
Tanzania National Parks has signed a Memorandum of Understanding
with the Sino-‐Africa Joint Research Centre, Chinese Academy of
Sciences whereby the duo have agreed to work together for the mutual
benefit of conservation sector in the country and particularly in
National Parks.
Director General of Tanzania National Parks Allan Kijazi (right) and Executive Director of Sino-Africa Joint Research Centre, Chinese Academy of Sciences Professor Qing-Feng Wang signing Memorandum of Understanding between their institutions in Arusha yesterday.
Speaking during the official signing event, the Director
General of TANAPA Allan Kijazi said that the MoU would boost and enhance
higher education training through research, training, innovation,
technological development and capacity building in areas of mutual
interest.
Some of the TANAPA Management team posed in a group picture with a delegation from the Chinese Academy of Sciences after the official signing of the MoU between the two institutions.
Kijazi
further mentioned that the two parties would exchange experience and
resources in areas such as biodiversity conservation, effective
utilization of bio-‐ resource, water pollution control, and strategies
for solving conflicts with communities, tourism and environmental
protection.
On his part, the Executive Director of Sino-‐Africa
Joint Research Centre, CAS Professor Qing Feng Wang commended the
decision by TANAPA to enter into Mou with his institution believing that
the move will assist TANAPA in managing better the National Parks.
Sino-‐Africa
Joint Research Centre had already sponsored three staff from TANAPA
to attend a short course on ecology in China last year and they have
also offered three Masters degree Scholarships for TANAPA staff to be
implemented soon.
Issued by Corporate Communications Department Tanzania National Parks
KILI FAIR MOSHI EVENT IN MOSHI
Saturday, June 06, 2015
No comments
KILIFAIR is organized to be an international tourism
& industry fair, promoting and presenting companies based in the
Kilimanjaro region.
The fair has the character of a business networking event for the tourism industry,
in combination with a community fair to attract local people, families & expats.
Venue:
Moshi Golf Club sports ground - at Moshi / Kilimanjaro, 15,000 m2 exhibition fair ground
The fair has the character of a business networking event for the tourism industry,
in combination with a community fair to attract local people, families & expats.
Venue:
Moshi Golf Club sports ground - at Moshi / Kilimanjaro, 15,000 m2 exhibition fair ground
Subscribe to:
Posts (Atom)