Katibu
Mkuu wa Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi ( kulia)
akikabidhiwa taarifa ya makabidhiano ya ofisi na aliyekuwa Katibu Mkuu
wa Wizara hiyo Dkt.Adelhelm Meru jana tarehe 04 Januari 2016 ambaye
kwa sasa kahamishiwa Wizara ya Viwanda na Biashara (kushoto ) ofisini
kwake Mpingo House.
Aliyekuwa
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Adelhelm Meru (
katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi watumishi wa ofisini
kwake mara baada ya kukabidhi ofisi hiyo kwa Katibu Mkuu wa sasa, Meja
Jenerali Gaudence Milanzi ( hayupo pichani)
Katibu
Mkuu wa Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi ( wa pili
kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara
hiyo, Dkt. Adelhelm Meru ( wa pili kushoto) akiwa na Naibu Katibu
Mkuu, Bi. Anjelina Madete ( wa kwanza kushoto) mara baada ya
makabidhiano ya taarifa ya ofisi Mpingo House jijini Dar es Salaam.
Wengine ni Katibu Muhtasi Bi Mariam Malunga ( katikati ) pamoja na
Mtumishi Bi. Judith ( wa kwanza kushoto)
Waziri
wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe ( katikati) akizungumza
ofisini kwake Mpingo House na Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Meja
Jenerali Gaudence Milanzi (kushoto) wakiwa pamoja na Naibu Katibu
Mkuu wa Maliasili na Utalii, Bi. Anjelina Madete (kulia) maara baada
ya kuwasili Wizarani hapo tayari kwa kutekeleza majukumu yao.









0 comments:
Post a Comment